Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Kitu ambacho ni kigumu mamii hasa ukiwa umelevywa na kilevi PENZI hizo nyakati hutazisoma wala kuzifikiria!
Haya ndo matatizo ya kumegwa mimi iwa nawatahadhalisha sana kwa wale wanao taka kuolewa usimegwe mapema ukisha megwa jamaa akaonja radha basi na speed inapungua maana kakipata alicho kuwa anakitaka.