Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,197
Binamu pole kwa yote yaliyokukuta, lakini ni majaribu tu ya hapa duniani bila kuyapitia hufiki kokote.
Mie naona jina zuri mwite GIOVANIS.
Mie naona jina zuri mwite GIOVANIS.
kule mtwango kuna kijana anaitwa SCANIA MAHENGE
Sis' jina hilo zuri kwa wenye kujua ilmu kidogoBinamu pole kwa yote yaliyokukuta, lakini ni majaribu tu ya hapa duniani bila kuyapitia hufiki kokote.
Mie naona jina zuri mwite GIOVANIS.
He... hivi Carina yupo aisee, naona yuko offline midahii na si mazoea yakeHata Carina T-I POA tu unaweza ukaanza na G ikawa GTI
bado mpwaazSis' jina hilo zuri kwa wenye kujua ilmu kidogo
ushaimajin mtoto akahamtia mtwara au katavi litatamkwaje??
Kiuswahili sana majina kama godi, gegedu, gudy, gano ni rahisi zaidi kutamkwa... vilevile kwenye jina bana kuna soo moja, some names a beautiful when the boy is till a kid, once grown unajiuliza hili jina la wapi? Giovanis?
Mie muasilia kweli nadhani Gegedu si baya sana
Teamo, what about Amani, Imani, Tumaini, Bahati, Baraka, nuru, Huruma?
He... hivi Carina yupo aisee, naona yuko offline midahii na si mazoea yake
eniwei... Papa G is around
Hommie mi nataka awe anakupa keleb pale unaporudi kutoka kwenye ifiiha ha ha ha!
hommie umeua.......!
Hommie mi nataka awe anakupa keleb pale unaporudi kutoka kwenye ifii
Kweli kabisa GEGEDU limetulia.Sis' jina hilo zuri kwa wenye kujua ilmu kidogo
ushaimajin mtoto akahamtia mtwara au katavi litatamkwaje??
Kiuswahili sana majina kama godi, gegedu, gudy, gano ni rahisi zaidi kutamkwa... vilevile kwenye jina bana kuna soo moja, some names a beautiful when the boy is till a kid, once grown unajiuliza hili jina la wapi? Giovanis?
Mie muasilia kweli nadhani Gegedu si baya sana
Teamo, what about Amani, Imani, Tumaini, Bahati, Baraka, nuru, Huruma?