Iko hivi Kuna mdogo wangu alifanya interview sehemu mbili tofauti ya kwanza ni taasisi ya Fedha ya pili ni taasisi ya Afya na kote akafaulu vizuri.
Taasisi ya Fedha akaambiwa asubiri ataitwa baada ya kukumilisha hatua kadhaa ila kwasasa bado sio Muajiliwa japokuwa tayari mguu mmoja uko ndani.
Ile taasisi ya Afya nao wakamuita na ajira Yao ni ya mkataba wa Mwaka mmoja (renewable) dogo akasaini na yuko kazini sasa ana wiki mbili hivi.
My question is siku taasisi ya Fedha wakimuita AONDOKE vipi pale AFYA bila kuathiri chochote?
Je kufanya kazi mwezi mmoja na kuchukua ya Kujikimu na Mshahara itamletea shida?
Njia ipi Sahihi kuachana na hiyo ya mkataba na kwenda ajira ya Kudumu bila kuonekana msumbufu?
Naomba msaada wenu wa Mawazo na Ushauri.
Asanteni Sana
Taasisi ya Fedha akaambiwa asubiri ataitwa baada ya kukumilisha hatua kadhaa ila kwasasa bado sio Muajiliwa japokuwa tayari mguu mmoja uko ndani.
Ile taasisi ya Afya nao wakamuita na ajira Yao ni ya mkataba wa Mwaka mmoja (renewable) dogo akasaini na yuko kazini sasa ana wiki mbili hivi.
My question is siku taasisi ya Fedha wakimuita AONDOKE vipi pale AFYA bila kuathiri chochote?
Je kufanya kazi mwezi mmoja na kuchukua ya Kujikimu na Mshahara itamletea shida?
Njia ipi Sahihi kuachana na hiyo ya mkataba na kwenda ajira ya Kudumu bila kuonekana msumbufu?
Naomba msaada wenu wa Mawazo na Ushauri.
Asanteni Sana