coronath julius
New Member
- Sep 18, 2018
- 2
- 2
Wadau naombeni msaada kwa hili jambo,,
Yaani siku hizi tangia wiki jana , ulaji wa umeme kwenye mita za 3phase umekuwa mkubwa mno.
Yaani, ukiweka umeme ambao kwa kazi ileile ulikuwa unatumia labda siku 4, siku hizi unatumia siku moja kwa kazi hiyohiyo unaisha.
Nimeleta mafundi wa umeme tofautitofauti kuniangalizia mfumo wa wiring na earth lakini wote wanasema mifumo yangu haina shida.
Nikajaribu kuwauliza na baadhi ya watu wanaotumia hizi mita za 3phase nao wakawa wanalalamika kwamba mambo yamebadilika.
Naomba kujua kama hili tatizo nilakitaifa kwamba serikali imebadili mfumo wa ulaji umeme kwakuwa vitu vimeoanda bei au mfumo umeyumba unarekebishwa hivyo tuwe watulivu??
Kwa mwenye mita ya 3phase na yeye anaweza kutushirikisha huko kwake hali ipoje
Yaani siku hizi tangia wiki jana , ulaji wa umeme kwenye mita za 3phase umekuwa mkubwa mno.
Yaani, ukiweka umeme ambao kwa kazi ileile ulikuwa unatumia labda siku 4, siku hizi unatumia siku moja kwa kazi hiyohiyo unaisha.
Nimeleta mafundi wa umeme tofautitofauti kuniangalizia mfumo wa wiring na earth lakini wote wanasema mifumo yangu haina shida.
Nikajaribu kuwauliza na baadhi ya watu wanaotumia hizi mita za 3phase nao wakawa wanalalamika kwamba mambo yamebadilika.
Naomba kujua kama hili tatizo nilakitaifa kwamba serikali imebadili mfumo wa ulaji umeme kwakuwa vitu vimeoanda bei au mfumo umeyumba unarekebishwa hivyo tuwe watulivu??
Kwa mwenye mita ya 3phase na yeye anaweza kutushirikisha huko kwake hali ipoje