Tanzania ina madini mengi na ya thamani kama: Ruby, saphire, emarald, diamond, alexandrite, Tanzanite, etc
bei ya madini inategemea na :hardness, size, colour, clearity, na kama yamekatwa na aina ya mkato e.g. brilliant, cushion, oval, table cut etc. Madini yenye bei kubwa kwa Tanzania ni Diamond ikifuatiwa na ruby, emarald, saphire, alexandrite na Tanzanite.
NB. Ruby zipo za aina tatu: red, rose na pink ruby. red ruby ndiyo ya ghali zaidi.