Msaada: Ufahamu kuhusu madini

Tanzania ina madini mengi na ya thamani kama: Ruby, saphire, emarald, diamond, alexandrite, Tanzanite, etc
bei ya madini inategemea na :hardness, size, colour, clearity, na kama yamekatwa na aina ya mkato e.g. brilliant, cushion, oval, table cut etc. Madini yenye bei kubwa kwa Tanzania ni Diamond ikifuatiwa na ruby, emarald, saphire, alexandrite na Tanzanite.
NB. Ruby zipo za aina tatu: red, rose na pink ruby. red ruby ndiyo ya ghali zaidi.

Naingia rasmi kwenye hii biashara, wacha nikalie au nikacheke kuliko kumtegemea Bwanayule naona hana habari na watumishi kabisa!!
 
Muamko Mdogo ila naamin ni kwenye kutufuta knowledge , kama kweli unalengo pia na nia.
 
Biashara ya madini ime collapse sahv Big time
Ningekumwagia nondo lkn sioni sababu ya kuzungumzia kitu ambacho kwa sasa serikali imebana vitu fulani mpaka kufanya ufanyaji wa kazi hii kuwa Ngumu.....
Kwa wale wenzangu...[HASHTAG]#the[/HASHTAG] Only...[HASHTAG]#ruby[/HASHTAG] morogoro....watakuwa wamenielewa

Ova
 
Kweli mkk hali ngumu inabid iwe ivo ili tusipigwe kizembe zembe na wajuaj, Hapo Moro watu wajuaj wanapatolea macho asaiv nasikia kumetema Jiwe
 
Back
Top Bottom