naombeni msaada wenu wanajamii. Kuna demu hapa kitaa nampenda naye ananipenda. hivi karibuni wakati bado tunaendelea kufahamiana zaidi wakaachana na boyfriend yake lkn nashangaa nikimkaribisha kwangu au swala la outing siku zote anachomoa. Cha ajab zaidi akiwa na rafikize anasema ananipenda!!!!!!!??????