Evarm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2010
- 1,934
- 1,400
Nina bibi yangu ana umri wa miaka 85 sasa hivi, ana matatizo ya mifupa kwani kile kimiminika kati ya mifupa (yaani viungio vya mifupa) imekwisha hivyo mifupa yake ya miguu inasagika kwa msuguano. Sasa hivi hawezi kutembea wala kusimama muda mrefu kama dakika tano anasema miguu (sehemu za viungio) vinamuuma sana.
Jamani mwenye kujua tiba (mbadala au za hospitali) juu ya ugonjwa huu naomba anisaidie kwani anateseka sana, amezunguka hospitali nyingi bila ya kupata dawa ya uhakika zaidi ya kupunguza maumivu tu. Nawasilisha!!!
Jamani mwenye kujua tiba (mbadala au za hospitali) juu ya ugonjwa huu naomba anisaidie kwani anateseka sana, amezunguka hospitali nyingi bila ya kupata dawa ya uhakika zaidi ya kupunguza maumivu tu. Nawasilisha!!!