Kingcobra
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,000
- 309
Wapendwa,
Mke wangu nimeishi nae kwa miaka tisa na Mungu ametujalia watoto watatu. Kinachoninyima raha ni udogo wa matiti ya mke wangu. Anapokuwa na mimba na anaponyonyessha huwa yanakuwa makubwa na yanapendeza sana.
Lakini miezi michache baada ya kumwachisha mtoto huwa yanarudi kuwa madogo sana. Je, kuna njia ya asili au dawa isiyo na madhara ya kukuza matiti? Msaada tafadhali.
Am serious!
Mke wangu nimeishi nae kwa miaka tisa na Mungu ametujalia watoto watatu. Kinachoninyima raha ni udogo wa matiti ya mke wangu. Anapokuwa na mimba na anaponyonyessha huwa yanakuwa makubwa na yanapendeza sana.
Lakini miezi michache baada ya kumwachisha mtoto huwa yanarudi kuwa madogo sana. Je, kuna njia ya asili au dawa isiyo na madhara ya kukuza matiti? Msaada tafadhali.
Am serious!