Gari Moshi
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 679
- 419
Dogo kinachokusumbua no cellulities na nilikuwa na ishu Kama yako.nilienda hospitali muhimbili,Ila nenda kanunue dapsone 100mg inauzwa 45000 ukitoka tu nje ya hospitali Ile pharmacy iko pembeni na benki. Ukipona leta mrejesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli alale chali sakafuni na mkeka mara nyingi zaidi kuliko kitandani,asijali maumivuKapime hormone mkuu kisha utibu hormone ilizidi kama ni ya kike, fanya haraka kabla hujafika 25 ,pia fanya mazoezi ya kujirefusha angalia utube yapo ,na hata pia fanya mazoezi ya kukata kalio utube yapo ,mazoezi ya jeshi ni tofaut na nayokuambia ,, mwisho kabisa pendelea kulala chali ,
Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo inaleta gyno ni side effect ya izo dawa akitumia mwanaume, cheki usimfanye jamaa akaota na mtindi hapo utakua ushamwaribia kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks MkuuMkuu tatizo la kuwa na makalio makubwa ni sababu kuna fat hakuna kingine. Sasa kuna haya mazoezi ukifanya yatakusaidia
Want to Burn Hip Fat? Try These 10 Exercise Options
- Squats. Share on Pinterest. ...
- Side lunges. ...
- Fire hydrants. ...
- Wall sits. ...
- Banded walk. ...
- Step-ups with weights. ...
- Side-lying leg raise. ...
- Jump squat.
Yaani MkuuMkuu nlisikia ulaki Wa papuchi kwa wingi inaweza kupelekea matako kupungua... Jaribu hii mbinu
Sent using Jamii Forums mobile app