vkeisy2006
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 229
- 99
mimi ni msichana niliyemaliza chuo mwaka jana mpaka nau sijaajilwa nafany tempo tu...sasa nimepta hapa shilingi laki tano natak hii hela izae....yani nataka nifanye biashara ya mtaji huu jamni sasa i do not know where to start nafikiria sana lakini naona kila biashara ina mtaji mkubwa naombeni mnishauri nifanyeje jamani ili hizi lakitano zangu zitoe faida...plz plz nsaidie niko tayari kufanya chochote cha halali......