Anfaal
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 1,154
- 113
Binafsi kauli ya TUCTA sioni kama inaniwakilisha mie km mfanyakazi wa Umma. Kiuhalisia katika mambo ambayo nilitarajia TUCTA ifanye si la kunishawishi nani awe kiongozi wangu bali kutetea maslahi na ustawi wa wafanyakazi kwa njia sahihi. Kwa mtindo huu TUCTA inataka kujipa wajibu wa kutuchagulia viongozi bila kujali kuna baadhi wanaridhishwa na utawala uliopo na kuna wengine kwao siasa ni upuuzi.
Msaada wangu ni kwamba hivi TUCTA wapo accountable kwa nani? Je, ni lazima mtumishi yoyote wa UMMA awe mwanachama wa chama cha wafanyakazi hata km aridhishi? Je, mtumishi huyo anaweza kuswitch kutoka chama kimoja kwenda kingine kwa hiari yake bila kizuizi chochote. Maana siamini km makato yangu kwenye mshahara yanafanya kazi niliyokusudia.
Msaada wangu ni kwamba hivi TUCTA wapo accountable kwa nani? Je, ni lazima mtumishi yoyote wa UMMA awe mwanachama wa chama cha wafanyakazi hata km aridhishi? Je, mtumishi huyo anaweza kuswitch kutoka chama kimoja kwenda kingine kwa hiari yake bila kizuizi chochote. Maana siamini km makato yangu kwenye mshahara yanafanya kazi niliyokusudia.