sisterseven
Member
- Oct 6, 2018
- 49
- 36
Habari nimepoteza karatasi ya TIN namba, hivi Kuna njia rahisi ya kuipata au mpaka niende TRA?
😄😄😄 Kwa kweli... Tunaangamia kwa ukosefu wa maarifahawa ndo wasomi wetu
Ingia kwenye website yao (yaani TRA) kuna chaguzi(options) hapo mbalimbali (zisome vizuri) mojawapo itakupa muongozo jinsi ya kuingiza taarifa zako ulizosajilia ili kupakua (download) TIN yako .Habari nimepoteza karatasi ya TIN namba, hivi Kuna njia rahisi ya kuipata au mpaka niende TRA?
Kama uliipata kwa njia ya mtandao, rudi mtandaoni utapata. Kama huna account ulipata kwenye ofisi zao basi tembelea nearest tra office utasaidika.Habari nimepoteza karatasi ya TIN namba, hivi Kuna njia rahisi ya kuipata au mpaka niende TRA?
Kudos! Umemsaidia sana huyo jamaa sio kama wengine hapo juu wamejaa dharau wakati hawana wanacho kijuaKama uliipata kwa njia ya mtandao, rudi mtandaoni utapata. Kama huna account ulipata kwenye ofisi zao basi tembelea nearest tra office utasaidika.
watu wasiojua wanadharauKudos! Umemsaidia sana huyo jamaa sio kama wengine hapo juu wamejaa dharau wakati hawana wanacho kijua
Una shida wewehawa ndo wasomi wetu
Sioni ajabu kwani unaonekana haujui thamani yake ndiyo sababu unaiita karatasi, ukienda TRA ukiwaambia umepoteza karatasi ya tin watakuambia wao huwa hawatoi karatasi hizo.Habari nimepoteza karatasi ya TIN namba, hivi Kuna njia rahisi ya kuipata au mpaka niende TRA?
Thamani huoni ....mtu kaanzisha Uzi,kafikiria na katumia bandoSioni ajabu kwani unaonekana haujui thamani yake ndiyo sababu unaiita karatasi, ukienda TRA ukiwaambia umepoteza karatasi ya tin watakuambia wao huwa hawatoi karatasi hizo.
Kajitangaza hapa kua ni msomi?hawa ndo wasomi wetu
DuuuhBichwa kama papai.
Hebu fikiria unaanzaje kupoteza cheti cha TIN! Unatembea nacho mitaani! TIN TRA inakutaka uibandike ukutani kwenye biashara yako.Thamani huoni ....mtu kaanzisha Uzi,kafikiria na katumia bando
Kakoswa kusema karatasi tu unaomponda...Tujitahidi kufikiri chanya apo unamrekebisha tu tunapita hivi
Unaweza kuipata je ni ile uliyoipata on line? Kama ni ile uliyoipata on line basi unaweza kuingia kwenye account yako na ukaipata! Kama ni ile ya zamani omba loss report nenda nayo TRA utaipataHabari nimepoteza karatasi ya TIN namba, hivi Kuna njia rahisi ya kuipata au mpaka niende TRA?
Twende pamoja vuta picha imeibiwa au limetokea janga lolote la ghafla kama moto,mvua kubwa apooo utamlalamiliaje mtuHebu fikiria unaanzaje kupoteza cheti cha TIN! Unatembea nacho mitaani! TIN TRA inakutaka uibandike ukutani kwenye biashara yako.