Yaani umefanyikiwa upasuaji lakini njia ya mkojo bado haijazubuka??Mkuu walinifanyia operation lakini wakasema eti ninateswa na kichocho!!!! Wakanipa vidonge vingi,nimevitumia vyote lakini bado hali ipo pale pale na ninashindwa nifanye nini ili kuepukana hii kadhia……. Ninateseka sana