jumaaharuna
Member
- Jul 5, 2022
- 28
- 22
Nasumbuliwa na tatizo la tumbo kujaa gesi na kuvuruga.
Yaani ni kama nimevimbiwa, nabeuwa harufu, cha kushangaza hamu ya kula sina, ila nikitia chakula kidogo tumbo linajaa gesi na nikienda chooni naishia kuharisha.
Yaani ni kama nimevimbiwa, nabeuwa harufu, cha kushangaza hamu ya kula sina, ila nikitia chakula kidogo tumbo linajaa gesi na nikienda chooni naishia kuharisha.