Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 333
Kuna wakuu wa mikoa wanafanya kazi ndani ya mikoa Miwili,je wanawezaje kuwatumikia hawa wananchi na je gharama za kila siku kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine ni nani anayegharamikia?
Mfano:Mkuu wa mkoa wa Mbeya John Mwakipesile ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Iringa.
Mkuu wa mkoa wa Singida Dk Parseko Ole Kone ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Manyara.
Na yawezekana kuna wengine wengi je Mkuu wa mkoa pekee na Mkurugenzi na mameya wanakazi gani? Naombeni msaada wenu Tafadhari.
Mfano:Mkuu wa mkoa wa Mbeya John Mwakipesile ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Iringa.
Mkuu wa mkoa wa Singida Dk Parseko Ole Kone ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Manyara.
Na yawezekana kuna wengine wengi je Mkuu wa mkoa pekee na Mkurugenzi na mameya wanakazi gani? Naombeni msaada wenu Tafadhari.