Msaada:Namtafuta dokta

Ze Heby

JF-Expert Member
Jun 22, 2011
5,251
5,315
Anaitwa Dr. Alice,ni mtaalamu wa tiba mbadala kwa kutumia vyakula na matunda.Nilipata kutizama kipindi chake Star TV ila nilishindwa "timing" katika kuchukua namba zake,mwenye contacts za huyu mama anisaidie wakuu.
 
Back
Top Bottom