Kwa anemjua mfanyabiashara wa Punda anipatie mawasiliano, nahitaji Punda kwa shughuli za shamba.
Khaa!! Ungetaka nyumbu usingepata shida..Kwa anemjua mfanyabiashara wa Punda anipatie mawasiliano, nahitaji Punda kwa shughuli za shamba.
Hamjamuelewa Mtoa mada anataka ( punda yani wale wabeba madawa kusafirisha) Mtoa mada nenda bongo movie wapo maana wale wanapenda mAisha ya ukardashian Uku Kazi hawatak kufanya
Kwa anemjua mfanyabiashara wa Punda anipatie mawasiliano, nahitaji Punda kwa shughuli za shamba.
Nenda Lumumba kwenye jengo la kijani kuna Punda wengi sana na wa bei rahisi,wanakufanyia kazi zote kwa siku ni Buku Saba.
Acha upumb**v wewe mtu anaongelea v2 vingine na wewe unaleta v2 vingine, wabongo mbona mnajifanya siasa imewakolea sana
Nenda Lumumba kwenye jengo la kijani kuna Punda wengi sana na wa bei rahisi,wanakufanyia kazi zote kwa siku ni Buku Saba.
Kwa anemjua mfanyabiashara wa Punda anipatie mawasiliano, nahitaji Punda kwa shughuli za shamba.