Lloyd Munroe
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 7,448
- 19,783
Nambie Mhasibu wa Taifa.๐๐๐๐
Nambie Mhasibu wa Taifa.๐๐๐๐
Tulafiona ni lugha gani na maanayak n nnWendo.. Kigogo.. Wende kibena.. Maana yake upendo au huruma za Mungu.
Madovena... Kingoni.. Nimesahau maana.
Lusungu... Ni kihehe na kibena maana yake Huruma. Ni jina la kiume.
Atu.. Atupele.. Kibena, kihehe, sijui kinyakyusa.. Maana yake alitupata ni Mungu.. Jina la kike.
Anosisye.. Amependeza.
Nikopoa ndugu mjumbe mtiifu ๐Nambie Mhasibu wa Taifa.๐
Nikopoa ndugu mjumbe mtiifu ๐
Majunia wanacheza tumboni balaa Wana chelewa shule๐๐Naona unasaka majina ya majunio.
Vipi hujapata hata mawili matatu ya kuwapa ๐Majunia wanacheza tumboni balaa Wana chelewa shule๐๐
Majina yanachekesha sana ๐Vipi hujapata hata mawili matatu ya kuwapa ๐
Kuna wehu wameandika matusi ya kiligha huko juu. Bongo sio pa kuomba Msaada hata kidogo.Majina yanachekesha sana ๐
Usiniambie๐๐๐Kuna wehu wameandika matusi ya kiligha huko juu. Bongo sio pa kuomba Msaada hata kidogo.
Nimecheka Sana Jana.Usiniambie๐๐๐
Itike-isiyo na mwishoNingepata maana zake, ningefurahiiiiii
Jina la kiume maana yake ni mfalme au king asili yake ni Mali... chukua historia kidogo "Mansa Musa was the ninth Mansa of the Mali Empire, which reached its territorial peak during his reign. Musa is known for his wealth and generosity. He has been subject to popular claims that he is the wealthiest person in history, but the extent... ""Ni ke au me? Maana yake ni nini?