Msaada: Nahitaji majina ya watoto wa Kike na Kiume ya Kiafrika, yasiwe ya Kizungu, Kiarabu wala Kiswahili

Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji kupata majina ya mtoto wa kike au wa kiume, majina yawe ya kiasili ya Afrika na sio ya kikoloni kwa maana ya Kizungu au Kiarabu, kwa upande wa majina ya Kiswahili pia sitaki, mfano wa majina ya kiswahili ni kama Sikitu, Shida, Masumbuko, Mwamini, Majaliwa, Chuki, n.k

Tafadhali nipe jina na maana yake pia nijulishe ni la jinsi ipi ke au me,

Karibuni wadau.
Kokubanza

Muganyizi
 
Unyakyusani (ke)

Anganile- amenipenda
Atuganile- ametupenda
Atupakisye-
Atupele-. Ametupa/ tumepewa
Tupokigwe- tumeponywa
Tulinagwe- tupo pamoja naye
Tumpale-
Tusajigwe-

(Me)

Alinanine- yupo pamoja nami
Alinanuswe- yupo pamoja nasi
Amanyisye- amenifundisha
Ambagile-
Ambonisye -
Andindilile. - amenilinda
Andembwisye- ameniamsha
Andengenie-
Anosisye-
Atupele- ametupa/ tumepewa
Gwamaka- mwenye nguvu
Lusajo- baraka
Lusubilo- mwenye kutegemewa
Lugano- upendo
Lupakisyo -
Lupinduko-
Mpokigwe- ameponywa
Tuntufye- tumsifu/apewe sifa

N.k

N.B. hizo tasfiri zinaweze zisiwe na maana ya Moja Kwa Moja.
 
Chacha
Mwita
Gati
Bhoke
Wankuru
Wakuru
Matinde
Kinanka
Nyanswi
Maswi
Wambura
Robhi
Kimune
Kezia
Marwa
Wariobya
Matiku
Sokolo
Nyangi
Otaigo
Nyagwe
Mnana
Mwikwabe
Marema
Hayo ni majina ya Wakurya.
Mnana maanaake nini? Sijawahi kisikia na nimelikubali
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji kupata majina ya mtoto wa kike au wa kiume, majina yawe ya kiasili ya Afrika na sio ya kikoloni kwa maana ya Kizungu au Kiarabu, kwa upande wa majina ya Kiswahili pia sitaki, mfano wa majina ya kiswahili ni kama Sikitu, Shida, Masumbuko, Mwamini, Majaliwa, Chuki, n.k

Tafadhali nipe jina na maana yake pia nijulishe ni la jinsi ipi ke au me,

Karibuni wadau.
Ngegemkeni
Subuya
Lichima
Tuntemeke
Maporu
Mobutu Lingidangi Seseseko Wazabanga
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji kupata majina ya mtoto wa kike au wa kiume, majina yawe ya kiasili ya Afrika na sio ya kikoloni kwa maana ya Kizungu au Kiarabu, kwa upande wa majina ya Kiswahili pia sitaki, mfano wa majina ya kiswahili ni kama Sikitu, Shida, Masumbuko, Mwamini, Majaliwa, Chuki, n.k

Tafadhali nipe jina na maana yake pia nijulishe ni la jinsi ipi ke au me,

Karibuni wadau.
KAMBARE ,,,,AU MBWANYEZI AU MZIZI.
 
Pape sakho, iliman ndiaye, cheikhou kouyate, mamadou, diakhate, ousmane, pape mboup, maxim choupo moting, tchouameni, camavinga
 
Kumbe ni nani

Na bantu ni nani
Bantu ni watu wenye asili ya Afrika Magharibi (Cameroon) waliongia Afrika Mashariki kupitia Kongo.
Hadzabe ni jamii ya wawindaji (wapo kundi moja na Khoisan) na asili yao ni Afrika Mashariki.
Hamna uhusiano wa kinasaba wala wa lugha kati ya Bantu na Hadzabe.
 
Back
Top Bottom