Msaada: Nahitaji majina ya watoto wa Kike na Kiume ya Kiafrika, yasiwe ya Kizungu, Kiarabu wala Kiswahili

Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji kupata majina ya mtoto wa kike au wa kiume, majina yawe ya kiasili ya Afrika na sio ya kikoloni kwa maana ya Kizungu au Kiarabu, kwa upande wa majina ya Kiswahili pia sitaki, mfano wa majina ya kiswahili ni kama Sikitu, Shida, Masumbuko, Mwamini, Majaliwa, Chuki, n.k

Tafadhali nipe jina na maana yake pia nijulishe ni la jinsi ipi ke au me,

Karibuni wadau.


Raila - (ME) mtu aletae furaha
 
Chacha
Mwita
Gati
Bhoke
Wankuru
Wakuru
Matinde
Kinanka
Nyanswi
Maswi
Wambura
Robhi
Kimune
Kezia
Marwa
Wariobya
Matiku
Sokolo
Nyangi
Otaigo
Nyagwe
Mnana
Mwikwabe
Marema
Hayo ni majina ya Wakurya.
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji kupata majina ya mtoto wa kike au wa kiume, majina yawe ya kiasili ya Afrika na sio ya kikoloni kwa maana ya Kizungu au Kiarabu, kwa upande wa majina ya Kiswahili pia sitaki, mfano wa majina ya kiswahili ni kama Sikitu, Shida, Masumbuko, Mwamini, Majaliwa, Chuki, n.k

Tafadhali nipe jina na maana yake pia nijulishe ni la jinsi ipi ke au me,

Karibuni wadau.

La kiume: Rutashuburugukwa

Lakike: Chausiku

Huu ndio mchango wangu.
 
Chacha
Mwita
Gati
Bhoke
Wankuru
Wakuru
Matinde
Kinanka
Nyanswi
Maswi
Wambura
Robhi
Kimune
Kezia
Marwa
Wariobya
Matiku
Sokolo
Nyangi
Otaigo
Nyagwe
Mnana
Mwikwabe
Marema
Hayo ni majina ya Wakurya.
Kumbe Mnana ni jina la kikurya!!!
Namjua mmoja ni Mrundi
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji kupata majina ya mtoto wa kike au wa kiume, majina yawe ya kiasili ya Afrika na sio ya kikoloni kwa maana ya Kizungu au Kiarabu, kwa upande wa majina ya Kiswahili pia sitaki, mfano wa majina ya kiswahili ni kama Sikitu, Shida, Masumbuko, Mwamini, Majaliwa, Chuki, n.k

Tafadhali nipe jina na maana yake pia nijulishe ni la jinsi ipi ke au me,

Karibuni wadau.
Nyanzala, Kalimanzila
 
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji kupata majina ya mtoto wa kike au wa kiume, majina yawe ya kiasili ya Afrika na sio ya kikoloni kwa maana ya Kizungu au Kiarabu, kwa upande wa majina ya Kiswahili pia sitaki, mfano wa majina ya kiswahili ni kama Sikitu, Shida, Masumbuko, Mwamini, Majaliwa, Chuki, n.k

Tafadhali nipe jina na maana yake pia nijulishe ni la jinsi ipi ke au me,

Karibuni wadau.

Ukisikia mwana kulitafuta ndio haya sasamajina ya kibantu asili, pitia kwenye link hii
 
Mwamvua
Chausiku
Atugaline
Mwenemilanzi
Mwananzila
Mwanampepo
Mwananziche
Sinkala
Mwanisao
Kalulu
Chaufi
Maufi
Simbeye
Kasanza
Shampundu
Sangu
Kazonde
Kizito
Ndasi
Chokola
Ntalyoka
Namkonda
Simkonda
Nandi
Msakila
Simya
 
Back
Top Bottom