sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,130
Hebu eleza vizuri hupigi bao kivipi, yaani hukojoleshwi.Wakuu nimekuwa nafanya mapenzi lakini sifiki kileleni. Hata kama nikeshe usiku kucha lakini simwagi.
Nina wake wawili sasa huyu bi mdogo niliyemwoa mwaka jana analalamika sana. Anataka mtoto lakini mbegu za kumbebesha mimba ndio hazipatikani.
Naomba ushauri wa kitabibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je wewe ni shoga...
Je mboo ikisimama ukaingiza kwenye Kei je hukojoi ?
Hii sijawahi skia, yaani mboo inasimama hadi mishipa inakaribia kupasuka lakini hukojoi? Kwa hiyo unatoa upepo tu.
Navyojua mimi wapo wanaume wanaofanywa mapenzi nyuma ndo wanalalamika hawakojoleshwi na wanaume wenzao
Sent using Jamii Forums mobile app