Jamani naomba ushauri,jongoo anapanda mtungi mara moja tu tena dakika 3 kurdia mpaka kesho yake.jamani kero naomba msaada
Acha ujinga we *****... Mwenzako anaomba msaada we unamwaga ***** hapa,kama una la kuchngia kakojoe ukalale...kabadilishwe jinsia!
Usiofu mkuu,madocta wanakuja kumwaga ushauri hapa....pia waweza search kuna thread nyingi hapa zenye mawazo yanayoweza kukusaidia hapa kaka...Jamani naomba ushauri,jongoo anapanda mtungi mara moja tu tena dakika 3 kurdia mpaka kesho yake.jamani kero naomba msaada
Thankx mzee ila kuna jamaa kanitukana hapo juu natafuta jinsi gani wahusika wanaweza kumpa adhabu ikiwezekana kuzuia mada zake kwa 3week hivi hafai na hafananii wanajfUsiofu mkuu,madocta wanakuja kumwaga ushauri hapa....pia waweza search kuna thread nyingi hapa zenye mawazo yanayoweza kukusaidia hapa kaka...
Asante sana kwa ushauri hapo penye red nafikiri ndilo tatizo maana nipo busy kiasi kwamba kuna wakati nikisikia simu inaita napatwa na kichefuchefu,du asante sanamkuu una mawazo mengi? unafanya kazi ngumu? kama haya yote huna inabidi ukacheck magonjwa kama ya kisukari! pia kabla ya mapenzi lazima utulie, usiwe na pupa. mapenzi siku zote ni psychology. akikisha mke wako pia anjishughulisha katika kufanya mahaba! kama goli la kwanza ni dk 3 tatu ni hali ya kiphysiology ya mwanadamu, baada ya hapo unaweza endeleza mapambano zaidi.
ushauri.
fanya mazoezi mara kwa mara
epuka vyakula vya sukari
epuka pombe
kula karanga kwa wingi
angalia mara kwa mara picha za ngono,
kama una pressure ongea na dk wako kama unatumia dawa za B-blockers akubadilishie kwani hupunguza nguvu za kiume
hivi kutukana na kebehi kwako ni starehe au?!!! ubarikiwe sana,kabadilishwe jinsia!