Hongera sana Mungu akujaalie upate mtoto mwema! But nilikuwa nauliza kidogo, Umepata ujauzito huo naturally au kuna dawa umetumia Dawa gani? Kuna dada yangu naye ana tatizo hilo hilo la PCOS , angependa nayeye apate ushuhuda wako na ushauri wako!
Saladi,tusaidie umefanyaje au tiba gani umetumia aftr hiyo metformin maana kuna my friend anapitia kama uliyopitia na treatment pia but hajapata mpaka leo..