Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 133
Jmn msaada kwa anefaham ratba ya mv victoria ya mwanza i mean cku gan na mda gan? Husafiri.?
Jmn msaada kwa anefaham ratba ya mv victoria ya mwanza i mean cku gan na mda gan? Husafiri.?
1.J3,J5 na Ijumaa inakuwa inatoka Bukoba kwenda Mwanza
2.J2,J4 na Alhamis inakuwa inatoka Mwanza kwenda Bukoba
Muda wa kuondoka ni saa nne usiku.Muda wa kuingia nikuanzaia saa moja usiku.
SAFARI NJEMA