Msaada kwenye ufugaji wa kuku wa mayai

Joseph Cliff

Member
May 31, 2016
28
6
Nina mpango wa kuanza kufuga kuku wa mayai. Na mipango yangu ni kuanza na vifaranga 250.. kwa ambao tayari wana mradi kama huu naomba kujua maelezo zaidi hasa kwenye
1) Bei ya hawa vifaranga 250
2) Bei na kiasi cha chakula kwa mwezi,wiki.
3) Ukubwa wa Banda na jinsi linavyotakiwa kujwengwa
4) Ratiba za dawa na bei ya hizo dawa
5)Ratiba ya kuwapa chakula
6)Aina ya chakula wanachotakiwa kula
7) Jumla ya pesa ambayo itanifanya niweze kuanza mradi huu.(kwa kukadiria)

Sehemu ya wazi ninayo na imezungushiwa fence yote nikujenga banda tuu na kuanza mradi. Nipo Dar-es-salaam

Nakama kuna vitu vingine zaidi ya hivyo pia naomba mnijuze ili mradi wangu aweze kwenda vizuri kama ninavyo tarajia. Ahsanteni
 
kaka najua watu wapo weng wa kuku shauri vizuri lakin ukitaka kufanikisha lazima upate mtaalam wa kuku shaur na kukupa maelekezo mazuri tena kwa wakati maana ufugaji una changamoto nyingi sana

mtaalam huyo ni mm mwenyewe

1:kuanzia bajet
2:aina ya banda
3:vifaaa
4:Aina ya kuku wanao faa
4:utunzaji
5:latiba ya chanjo na matibabu
 
kaka najua watu wapo weng wa kuku shauri vizuri lakin ukitaka kufanikisha lazima upate mtaalam wa kuku shaur na kukupa maelekezo mazuri tena kwa wakati maana ufugaji una changamoto nyingi sana

mtaalam huyo ni mm mwenyewe

1:kuanzia bajet
2:aina ya banda
3:vifaaa
4:Aina ya kuku wanao faa
4:utunzaji
5:latiba ya chanjo na matibabu
kaka vitu nilivo orodhesha hapo maelezo yake ni page za kutosha ndugu zangu kiukweli huo muda sina kama uko serious niko tayar kuku elekeza hatua kwa hatua kuliko maelezo lundo ambayo wengi wen niwasomaj wa kupita muda ni mali
 
maelekezo ni mengi sana cliff kama uko selious nichek hapa

0753445531 ili twende hatua kwa hatua na evidence via whatsap
Noamba unitext whatsapp namba +256750190818. Whsapp yangu amekataa kusoma namba ulionipa
 
Nina mpango wa kuanza kufuga kuku wa mayai. Na mipango yangu ni kuanza na vifaranga 250.. kwa ambao tayari wana mradi kama huu naomba kujua maelezo zaidi hasa kwenye
1) Bei ya hawa vifaranga 250
2) Bei na kiasi cha chakula kwa mwezi,wiki.
3) Ukubwa wa Banda na jinsi linavyotakiwa kujwengwa
4) Ratiba za dawa na bei ya hizo dawa
5)Ratiba ya kuwapa chakula
6)Aina ya chakula wanachotakiwa kula
7) Jumla ya pesa ambayo itanifanya niweze kuanza mradi huu.(kwa kukadiria)

Sehemu ya wazi ninayo na imezungushiwa fence yote nikujenga banda tuu na kuanza mradi. Nipo Dar-es-salaam

Nakama kuna vitu vingine zaidi ya hivyo pia naomba mnijuze ili mradi wangu aweze kwenda vizuri kama ninavyo tarajia. Ahsanteni
Vifaranga vizuri vyenye uakika wa kuchanjwa MEREKSI vinapatikana Songwe Mbeya kwa mama Patricia, uliza wafugaji wengi wakubwa wanamfahamu.
Vifaranga vyake ni aina ya Issa brown.
Bei 2,200 kwa kimoja.
Chakula waweza nunua au tengeneza mwenyewe.
Ulaji wa kuku mmoja ni kg 0.125 per day zidisha na wa kwako 250
Kuku 100 wanakunywa lita 18 za mai kwa siku
Chanjo 1. Mereks-siku ya kuzaliwa kiwandani
2.Newcastle siku ya saba
3.Gumbolo siku ya 14
4.Gumbolo siku ya 21
5.Newcastle siku ya 28
6.Ndui
7.Minyoo etc
Kama unatengeneza chakula 1.Crude protein not less than 18%
2.Lysine not less than 0.95%
3.Methionine not less than 0.35%
4.Crude fat not less than 5%
5.Crude fibber not less than 5%
6.Calcium not less than 3.5% and not more than 4.5%
7.Phosphorus not less than 0.60%
8.Salt not less than 0.3% and not more than 0.5%
Energy ni 2,500 hadi 2700
NI KWA KUKU WANAOTAGA TUUUUU
 
Vifaranga vizuri vyenye uakika wa kuchanjwa MEREKSI vinapatikana Songwe Mbeya kwa mama Patricia, uliza wafugaji wengi wakubwa wanamfahamu.
Vifaranga vyake ni aina ya Issa brown.
Bei 2,200 kwa kimoja.
Chakula waweza nunua au tengeneza mwenyewe.
Ulaji wa kuku mmoja ni kg 0.125 per day zidisha na wa kwako 250
Kuku 100 wanakunywa lita 18 za mai kwa siku
Chanjo 1. Mereks-siku ya kuzaliwa kiwandani
2.Newcastle siku ya saba
3.Gumbolo siku ya 14
4.Gumbolo siku ya 21
5.Newcastle siku ya 28
6.Ndui
7.Minyoo etc
Kama unatengeneza chakula 1.Crude protein not less than 18%
2.Lysine not less than 0.95%
3.Methionine not less than 0.35%
4.Crude fat not less than 5%
5.Crude fibber not less than 5%
6.Calcium not less than 3.5% and not more than 4.5%
7.Phosphorus not less than 0.60%
8.Salt not less than 0.3% and not more than 0.5%
Energy ni 2,500 hadi 2700
NI KWA KUKU WANAOTAGA TUUUUU
Your awesome. Thank you
 
Vifaranga vizuri vyenye uakika wa kuchanjwa MEREKSI vinapatikana Songwe Mbeya kwa mama Patricia, uliza wafugaji wengi wakubwa wanamfahamu.
Vifaranga vyake ni aina ya Issa brown.
Bei 2,200 kwa kimoja.
Chakula waweza nunua au tengeneza mwenyewe.
Ulaji wa kuku mmoja ni kg 0.125 per day zidisha na wa kwako 250
Kuku 100 wanakunywa lita 18 za mai kwa siku
Chanjo 1. Mereks-siku ya kuzaliwa kiwandani
2.Newcastle siku ya saba
3.Gumbolo siku ya 14
4.Gumbolo siku ya 21
5.Newcastle siku ya 28
6.Ndui
7.Minyoo etc
Kama unatengeneza chakula 1.Crude protein not less than 18%
2.Lysine not less than 0.95%
3.Methionine not less than 0.35%
4.Crude fat not less than 5%
5.Crude fibber not less than 5%
6.Calcium not less than 3.5% and not more than 4.5%
7.Phosphorus not less than 0.60%
8.Salt not less than 0.3% and not more than 0.5%
Energy ni 2,500 hadi 2700
NI KWA KUKU WANAOTAGA TUUUUU
Kwa Dar es Salaam wakala wa hawa Vifaranga wanapatikana wapi? Unaweza ukaweka contacts zao?
 
Kwa Dar es Salaam wakala wa hawa Vifaranga wanapatikana wapi? Unaweza ukaweka contacts zao?
Kesho nitawapa namba zake za simu , huwa hana wakala ila vifaranga vikitoka anasambaza mikoa yote kwa wateja waliokwisha lipia hadi majumbani mwao kwa magari yake.
 
Back
Top Bottom