punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 450
Khaaa, kweli wewe ni Popobawa...
Miaka miwili??? Big up bro! Ulishawahi kusikia watu wanaoitwa washika pembe?! Endelea kukomaa nazo tu. Huyo dada safi sana anakwambia ukweli wake kitu ambacho ni wachache wanafanya hivo.
Pole sana kaka hayo ndo maisha, nakushauri usimlazimishe kama kakwambia hana hisia na ww na mpo wote kwenye urafiki 2yrs bora uache make waweza endelea kumsumbua akakupa jibu ili akuridhishe ukaja pata shida hapo baadae na ukaanza kujuta
Good, maana s'times ni sitaki nataka ingawa 2years mh!!!!!fanya hivi....mwambie kuna msichana umetokea kumpenda ndio upo kwenye mchakato wa kumtokea....uone atasemaje.....
Duh wemepitiliza!Khaaa, kweli wewe ni Popobawa...
Hivi wanaume mnapokuwa na hisia za mapenzi kwa mwanamke na yeye anataka muwe marafiki kwanini huwa ni ngumu kukubali?
wakati mwingine huwa ni tamaa tu hata kupenda kwenyewe kunakuwa hakupo
Miaka miwili??? Big up bro! Ulishawahi kusikia watu wanaoitwa washika pembe?! Endelea kukomaa nazo tu. Huyo dada safi sana anakwambia ukweli wake kitu ambacho ni wachache wanafanya hivo.
u sure abt that?! I LOVE HER !