Umenena vema,ni kakampuni kakihuni sanaTindwa medical and health service au Tmhs makao yake makuu ni buzwagi street,masaki. Ina branch makurunge, madale, nyingine mwanza na Uganda.
Ni kampuni Moja mbaya sana kama una vision nzuri mana ina high rate ya turnover!. Ni ofis ya kufanya Kaz miezi 6 tu... Sio ofis nzuri kabisa .. mwenye hiyo ofisin aliwahi kuwa mwajiriwa ORCI miaka hiyo. Nimefanya Kaz hapo
Kuna changamoto gani pale mkuu, tupeane abcTindwa medical and health service au Tmhs makao yake makuu ni buzwagi street,masaki. Ina branch makurunge, madale, nyingine mwanza na Uganda.
Ni kampuni Moja mbaya sana kama una vision nzuri mana ina high rate ya turnover!. Ni ofis ya kufanya Kaz miezi 6 tu... Sio ofis nzuri kabisa .. mwenye hiyo ofisin aliwahi kuwa mwajiriwa ORCI miaka hiyo. Nimefanya Kaz hapo
Nimeona Uzi kuwa uko kazini. Tmhs Wana utamadun wa kuwaona wafanyakaz hawafany kazi. Termination ni dakika sifuri tu.Kuna changamoto gani pale mkuu, tupeane abc
Sijawah ona kampuni mbovu kama hii. Kila mwez lazima mfanyakaz hata mmoja aache au aachishwe kazi kwa sababu hafanyi kazi etiUmenena vema,ni kakampuni kakihuni sana
Iangalie kila mwez au miezi miwili Kuna post ya paramedic mara HSE. Kuna mtu aliwahi kufanya Kaz Tmhs wiki Moja tu Akala konaMkuu kila mwezi wao wana recruit?
Kuna kale ka-HR Manager kakiume na mwenzake Adelina Mlowe vipuuzi sana,havina kitu kichwani,vingereza vyao ovyo basi shida tu,siku nimeenda pale nilivyoona tu yale mazingira nikamuuliza Mlinzi getini kama hawa wahuni wataweza kunilipa Mshahara. Ni kikampuni cha ovyoNenda karibu Bahati yako Mkuu. Huenda ukadumu zaidi ya Mwaka.
Ila sijaelewa kama kweli wamekuita Pwani au uende ofisi Zako pale Masaki.
Mimi nilienda kufanya interview pale mwaka Jana, pako local Sana sioni kama panafaa ila ni kuweza kumudu changamoto Tu.
Na wanaofanya interview ni vijana wadogo Tu, so usiwe na presha.