CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Kuna mtu anaomba msaada, ushauri kuhusu requirements za clinic registration:
Ka-clinic anakotaka kukasajili kana Daktari (MD) mmoja na clinical officer mmoja. Na hawa nd'o kila kitu (kazi za nurse na za maabara zile ndogondogo kama kupima malaria kwa RDT siyo microscope, typhoid, syphilis, blood sugar, urine,wanafanya wao)
Katakuwa kanatoa primary health care ambapo mgonjwa hatakuwa anakaa clinic zaidi ya saa 24 kama atahitaji hospitalization.
So, anauliza afanyeje au ni vitu gani anatakiwa awe ameshakamilisha kwanza ili aweze kufuatilia registration mpaka Wizarani (MoHSW).
Natanguliza shukrani za dhati kwa msaada wenu!
Ka-clinic anakotaka kukasajili kana Daktari (MD) mmoja na clinical officer mmoja. Na hawa nd'o kila kitu (kazi za nurse na za maabara zile ndogondogo kama kupima malaria kwa RDT siyo microscope, typhoid, syphilis, blood sugar, urine,wanafanya wao)
Katakuwa kanatoa primary health care ambapo mgonjwa hatakuwa anakaa clinic zaidi ya saa 24 kama atahitaji hospitalization.
So, anauliza afanyeje au ni vitu gani anatakiwa awe ameshakamilisha kwanza ili aweze kufuatilia registration mpaka Wizarani (MoHSW).
Natanguliza shukrani za dhati kwa msaada wenu!