Hii ina ukwelKwenye Interview wale wa Mwisho huwa wanatusua kwa sababu kuu mbili au Tatu;
1. Panelist wanakua wameshachoka akili na hivyo umakini unakua umepungua sana. Usiombe uwe msailiwa wa 10 wa mwanzo utapigwa maswali halisi yaishe ukiweza unapigwa ya uzushi hadi uchakae.
2. Kwa interviewa zinazofanana maswali possibly kuanzia asbh hadi jioni lazima maswali yanakua yamewafikia kwa kiasi fulani lkn pia wao wanakuwa na muda mrefu wa kufanya memorization.
3. Panelist wanaweka sympathy kwa watu waliotoka usiku sana kwa jinsi walivyoonyesha uvumilivu kusubiri ngarambe.
😢Mbona kukatishana tamaa hukuMmmh mara nyingi wanaokua wa kwanza hawapati kazi, I Don know why....