aaah! ndo umejibu mwenyewee!
Wapiga punyeto wengi wanaishia kupata kansa ya kibofu cha mkojo. Lubricants wanazotumia wakati wa punyeto huwa zinaingia kupitia njia ya mkojo wakati wa kujichua na mtokeo ya unapata kansa ya kibofu. Acha kabisa hiyo tabia.
Haina madhara endelea kukamua mkuu ila usipige kavu tumia lubricant
utachubukaukipiga kavu ina madhara gani
Wapiga punyeto wengi wanaishia kupata kansa ya kibofu cha mkojo. Lubricants wanazotumia wakati wa punyeto huwa zinaingia kupitia njia ya mkojo wakati wa kujichua na mtokeo ya unapata kansa ya kibofu. Acha kabisa hiyo tabia.
Wakuu eti ni yapi madhara ya punyeto na nini tiba yake,nimejaribu kusearch sehemu mbalimbali ila mawazo yanakinzana wapo wanaodai inamadhara wengine wanadai haina madhara,upi ukweli wanajamvi?