Msaada kuhusu makosa ya "JINAI"

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Poleni na majukumu ya kila siku. Leo nimekuja nikiwa na swali moja kuu. Kutoka kwenu naomba msaada wa kujua nini maana ya Jinai? na ni yapi hasa ni makosa ya jinai? Je kuna makasoa maalumu ambayo ni ya jinai? Au ni vigezo gani vinatumika kulipa kosa hadhi ya jinai?
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
 
Poleni na majukumu ya kila siku. Leo nimekuja nikiwa na swali moja kuu. Kutoka kwenu naomba msaada wa kujua nini maana ya Jinai? na ni yapi hasa ni makosa ya jinai? Je kuna makasoa maalumu ambayo ni ya jinai? Au ni vigezo gani vinatumika kulipa kosa hadhi ya jinai?
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Jinai nikosa dhidi ya jamuhuri. Sheria ya Sura ya 16 ya sheria za Tanzania iliofanyiwa marejeo 2002 inataja makoso ambayo
ni dhidi ya Jamuhuri pamoja na adhabu zake. Sasa Jamuhuri ni nini? Sheria ya sura ya 16, tajwa humu, katika sura yake ya pili inatoa maana ya Jamuhuri kuwa “
....refers not only to all persons within Mainland Tanzania but also to the persons inhabiting or using any particular place, or any number of those persons, and also to such indeterminate persons as may happen to be affected by the conduct in respect to which such expression is used;” Unapokuja katika sheria za kimataifa, jinai huwa katika sura ya Haki za binadamu (Jus Cogens ambazo hulindwa na Peremptory Norms), hivyo unapovunja haki ya binadamu unakuwa umetenda jinai, pia huarifu wa kivita ni jinai Kimataifa. Zaidi ya haya ni vigumu kukuta kosa la jinai Kimataifa kwani jinai ya nchi moja inaweza kutokuwa jinai katika nchi nyingine. Mfano ndoa za jinsia moja Tanzania ni jinai ila Marekani si jinai.
Nazani haya yanakutosha.
 
Jinai nikosa dhidi ya jamuhuri. Sheria ya Sura ya 16 ya sheria za Tanzania iliofanyiwa marejeo 2002 inataja makoso ambayo
ni dhidi ya Jamuhuri pamoja na adhabu zake. Sasa Jamuhuri ni nini? Sheria ya sura ya 16, tajwa humu, katika sura yake ya pili inatoa maana ya Jamuhuri kuwa “
....refers not only to all persons within Mainland Tanzania but also to the persons inhabiting or using any particular place, or any number of those persons, and also to such indeterminate persons as may happen to be affected by the conduct in respect to which such expression is used;” Unapokuja katika sheria za kimataifa, jinai huwa katika sura ya Haki za binadamu (Jus Cogens ambazo hulindwa na Peremptory Norms), hivyo unapovunja haki ya binadamu unakuwa umetenda jinai, pia huarifu wa kivita ni jinai Kimataifa. Zaidi ya haya ni vigumu kukuta kosa la jinai Kimataifa kwani jinai ya nchi moja inaweza kutokuwa jinai katika nchi nyingine. Mfano ndoa za jinsia moja Tanzania ni jinai ila Marekani si jinai.
Nazani haya yanakutosha.

Shukrani sana Mbut na Chai
tenaChai mungu akubariki.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom