Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 409
Katika sector ya Afya mbali na kula vizuri, tunashauriwa pia kuipa mazoezi miili yetu.
Sasa wadau ningependa kuuliza je ni mazoezi gani inashauriwa tufanye, wakati gani na faida zake ktk miili yetu (for both male and female)??
Nawasilisha.....
Sasa wadau ningependa kuuliza je ni mazoezi gani inashauriwa tufanye, wakati gani na faida zake ktk miili yetu (for both male and female)??
Nawasilisha.....