Baraka sheni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2015
- 470
- 193
Poleni na majukumu.
Mwanangu ana miaezi 8 jinsia ya kike amekuwa akisumbuliwa na joto kupanda hasa kichwani na kwenye tumbo. Nilimpeleka hospitali mara 3 hospitali tofauti tofauti lakini tatizo haliishi. Vipimo walivyokuwa wakichukuwa ::
MRDT
URINE
RBG
FBP
Dokta alisema ana maambukizi kwenye damu akaandikiwa dawa na sindano dawa yakuongeza dam
kiukweli amesha maliza lakini sioni mabadiliko mtoto amekuwa kishtuka usiku hataki kula wa kunywa uji hataki.
Naimani humu kuna wazazi kama mm naombezi mawazo yenu madokta karibuni #mzizimkavu karibu upite hata
Mwanangu ana miaezi 8 jinsia ya kike amekuwa akisumbuliwa na joto kupanda hasa kichwani na kwenye tumbo. Nilimpeleka hospitali mara 3 hospitali tofauti tofauti lakini tatizo haliishi. Vipimo walivyokuwa wakichukuwa ::
MRDT
URINE
RBG
FBP
Dokta alisema ana maambukizi kwenye damu akaandikiwa dawa na sindano dawa yakuongeza dam
kiukweli amesha maliza lakini sioni mabadiliko mtoto amekuwa kishtuka usiku hataki kula wa kunywa uji hataki.
Naimani humu kuna wazazi kama mm naombezi mawazo yenu madokta karibuni #mzizimkavu karibu upite hata