mama na baba
Member
- Jan 5, 2015
- 33
- 1
Ukiwa na fani ya information technology (IT) unaweza pata nafasi ya JKT na baadae ukafanya usaili wa JWTZ baada ya kumaliza jkt msaada wadau wangu
sawa sawa vipi kwenye usaili kuna nafasi za wenye fani mbalimbali zinazotolewa?
sawa sawa nimewasoma acha nistruggle na jkt chance