amezidi
Member
- Jan 18, 2016
- 53
- 20
Mkuu hebu toa maelekezo vizuri kama cjakupata vizuri.Tumia utorrent app pakua google playstore then utafute app inaitwa kickass finder kwenye mobogiene
utaweza kupakua any movie
Mkuu hebu toa maelekezo vizuri kama cjakupata vizuri.Tumia utorrent app pakua google playstore then utafute app inaitwa kickass finder kwenye mobogiene
utaweza kupakua any movie
Mkuu hapo sijaelewa kipi ni kipi. Naomba ufafanuzi kidogo... Msaada tafadhariTumia utorrent app pakua google playstore then utafute app inaitwa kickass finder kwenye mobogiene
utaweza kupakua any movie
Inategeme unataka siries gani ya tyra perry maana link zipo nyingiwakuu msaada link ya kupakua movie za tyra perry.
Ila me huwa kuna app ninayo hapa kwenye computer nachek sieries yoyote nayotaka me hapaInategeme unataka siries gani ya tyra perry maana link zipo nyingi
siyo series mkuu ila ni movie mfano "good deeds" , why did i get married? 1 na 2 etc.Ila me huwa kuna app ninayo hapa kwenye computer nachek sieries yoyote nayotaka me hapa
Nilishajaribu sana hii ikawa inakataa,ila hii ya kwenye link yako inashuka bila shida thanks.Pakua Showbox hapa ShowBox App Download - APK for Android, iPhone, PC & More
Kitu kidogo cha kurekebisha baada ya kupakua movie ni ku edit jina ukipakuwa movie mfano: Close Range
Itakuwa hivi
Close-range-.mp4.temp
So wewe edit hilo jina kwa kufuta .temp ibaki close-rage.mp4
Then enjoy movie uliyo dawnload Kazi ni kwako.
siyo series mkuu ila ni movie mfano "good deeds" , why did i get married? 1 na 2 etc.
thanks mkuu chief-mkwawa.
Kickass finder inatafuta link ya movie na utorrent ina download so ukitaka ku download movie mfano "dope" unaitafuta kwenye kickass finder then ukiifungua ina link na utorrent na kuanza kuji pakua.Mkuu hapo sijaelewa kipi ni kipi. Naomba ufafanuzi kidogo... Msaada tafadhari
Mkuu funguka vizuri ( ukiifungua ina link na kuanza kuji pakua ) duuuh ikifunguka then kuna alama mbali mbali zitaonekana mbele ili aweze ku dawnload hiyo movie anatakiwa abonyeze alama ya sumaku imekaa kama U inayoangalia chini hapo ndio ita detect kwenye file moja wapo kati ya utorrent, bittorrent au hiyo drop kama unayo nakuanza kuji dawnload.Kickass finder inatafuta link ya movie na utorrent ina download so ukitaka ku download movie mfano "dope" unaitafuta kwenye kickass finder then ukiifungua ina link na utorrent na kuanza kuji pakua.
si kweli torrent ni halali na kama haufahamu microsoft sasa hivi anatoa updates kupitia p2p network kama torrent. pia kuna distro kibao za linux zipo torrent tu na os kama remix os (android) ya jide ipo torrent.Keep in your mind. Using torrent, bit torrent, u torreny, vuze is illegal. So ushauri unaoupata hapa do it for your own risk. Ukikutana na mivirusi usije kulia hapa
Sure kaka, sisi tuna toa ushauri tu lkn chakuzingatia sana sana kupakuwa file mbali mbali ktk net huwa ni risk tu.Keep in your mind. Using torrent, bit torrent, u torreny, vuze is illegal. So ushauri unaoupata hapa do it for your own risk. Ukikutana na mivirusi usije kulia hapa
Kuwa na torrent sio mbaya. Ndo maana inapatikana playstore. Lakini kutumia torrent ku download movir ni illegal. Kama ni mtuaji mzuri utakuwa unajua hili. Kwasababu ata kwenye hizo website za torrentz wameandika kabisa kuw hii kitu ni illegalsi kweli torrent ni halali na kama haufahamu microsoft sasa hivi anatoa updates kupitia p2p network kama torrent. pia kuna distro kibao za linux zipo torrent tu na os kama remix os (android) ya jide ipo torrent.
Kutumia torrent unaweza pakua virusi hadi toka dunia nzima. Kwasababu pale mnashare file. Kama mmoja wenu ni victim. Kimeo kinawadondokea woteSure kaka, sisi tuna toa ushauri tu lkn chakuzingatia sana sana kupakuwa file mbali mbali ktk net huwa ni risk tu.