Kusajili kituo cha kufanyia mtihani

Bw.Daffa

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
420
116
Wakuu, Naomba Ushuri au Kuelekezwa Namna ya Kusajiri Kituo cha Kufanyia Mitihani ya QT na Wanaorudia Mitihani ya Kidato cha Nne. Kwa Sasa Kituo Kipo Tuition Center tu, Je Kuna Vigezo Gani Vinahitajika? Usajiri Unatolewa Wizarani au Kupitia NECTA? Na Mengine Yeyote.

Natanguliza Shukrani.
 
..nenda kwenye kituo kilichosajiliwa kufanya mitihani ya PC na QT utapewa reference number ambayo utakwenda nayo posta kulipa ada ya NECTA tsh 50,000 kwa PC na 40,000 QT,.baada ya malipo nenda internet cafe sasa ukafanye usajili wa masomo,jitaidi mwisho ni tar 29 mwezi huu,kuanzia March kutakuwa na faini kidogo.
 
..nenda kwenye kituo kilichosajiliwa kufanya mitihani ya PC na QT utapewa reference number ambayo utakwenda nayo posta kulipa ada ya NECTA tsh 50,000 kwa PC na 40,000 QT,.baada ya malipo nenda internet cafe sasa ukafanye usajili wa masomo,jitaidi mwisho ni tar 29 mwezi huu,kuanzia March kutakuwa na faini kidogo.
Hujaelewa shida ya mleta mada..yeye anataka kusajiri kituo..sio kufanya mtihan
 
Wakuu, Naomba Ushuri au Kuelekezwa Namna ya Kusajiri Kituo cha Kufanyia Mitihani ya QT na Wanaorudia Mitihani ya Kidato cha Nne. Kwa Sasa Kituo Kipo Tuition Center tu, Je Kuna Vigezo Gani Vinahitajika? Usajiri Unatolewa Wizarani au Kupitia NECTA? Na Mengine Yeyote.

Natanguliza Shukrani.

Mkuu vipi, ulipata maelekezo ya kutosha kuhusu hili?
 
Back
Top Bottom