mwaJ
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 4,074
- 2,947
hebu mipemo kalinki msiri wangu mwaJ jamani.......wapi apo nikapaone, manake juzi ilikuwa lindo zamu yangu (sijui niache jeshi?)
Jeshi usiache msiri wangu Kaizer labda kama ile biashara yetu imeshakubali sawasawa. Si unajua tena maisha yanaweza kuwa magumu ukizingatia una wake 2 (AshaDii na gfsonwin ambao ni rasmi ninao watambua) wa kuwatunza na wote matunzo yao si ya kitoto. Ila uwe unakumbuka kuitika unapoitwa hata kama uko lindo.
Haya link uloitaka hii hapa https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/373908-somo-kwa-kina-dada-2.html usidhani nilikuwa nadanganya.
Last edited by a moderator: