majuto mperungu01
Senior Member
- Aug 29, 2012
- 115
- 21
Naomba mwenye uelewa juu ya hii biashara nina mtaji wa kutosha na wilaya ninayokaa hamna huduma hii ya internate cafe so ningependa kuifanya
Naomba mwenye uelewa nayo anielekeze jinsi ya kuianzisha na je inalipa?
Nawasilisha
Naomba mwenye uelewa nayo anielekeze jinsi ya kuianzisha na je inalipa?
Nawasilisha