Prince Akeem
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 884
- 375
wakuu za saa hizi
Nimejigonga usiku huu kwenye kigingi nje wakati naingia ndani na mguu umevilia damu na unaonekana mweusi na mwekundu baadhi ya sehemu
Nilikuwa naomba msaada wa dawa au tiba mbadala wakuuu
Nimejigonga usiku huu kwenye kigingi nje wakati naingia ndani na mguu umevilia damu na unaonekana mweusi na mwekundu baadhi ya sehemu
Nilikuwa naomba msaada wa dawa au tiba mbadala wakuuu