STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,568
Nina mtaji wa Milioni 5. Naweza kufanya biashara gani Mwanza? Hata kama itaingiza faida kiwango kidogo sana ili mradi tu tuishi.
Umenifurahisha sanaa mkuu... Cha muhimu kuishi tuuh...Nina mtaji wa Milioni 5. Naweza kufanya biashara gani Mwanza? Hata kama itaingiza faida kiwango kidogo sana ili mradi tu tuishi.
Umenifurahisha sanaa mkuu... Cha muhimu kuishi tuuh...
Kwa ushauri tafuta wateja wa mikoani kama dodoma.,moro na dar uwatumie samaki mbichi kwa bei ya jumla...
kwa mwanza fungua duka la nafaka japo sijajua uko maeneo gan mkuu, ila kiukweli ni kwamba mwanza inawatu wengi sn kwa sasa na wengi hawajishughulishi na kilimo cha mazao ya vyakula, hivyo wengi wanategemea kununua vyakula.
pia kwa mwanza upatikanaji wa mazao ya nafaka ni rahisi kulingana na kwamba imezungukwa na jamii za wakulima, nafaka ni bidhaa ambayo haipitwi na wakati na haiharibiki haraka.
Kweli kila mtu anachukulia maisha kw frame anayoitaka yy!waza maisha in a big frame!
Nimekuelewaa sanaa sababu kuna msemo unasema don't expect much life is full of surprises and disappointment...Hahahaha ahsante Mkuuu, si unajua life letu ilimradi usiadhirike tu
Mdogo mdogo ndio mwendo wa kuanzia, baadae kila kitu kitakaa sawa
Kila la heri
Nimekuelewaa sanaa sababu kuna msemo unasema don't expect much life is full of surprises and disappointment...