Mpoto akigombea ntampigia ili ashinde mnyika anarukaruka tu hana alichoshifanya jimboni.
Yeye hajataja chama
havai viatu
Yeye anaweza kukununulia wewe
Mpoto na afande sele nani zaidi?
Msanii Mrisho Mpoto
Mrisho Mpoto asema atagombea ubunge jimbo la UBUNGO ila hakutaja chama gani.
Kwa maana hiyo hakubaliani na mbunge aliyepo kwenye kampeni utakuwa ni mwendo wa mashairi tu.
Mnyika kurudi Bungeni itakuwa kazi ya ZIADA kwake.
Najiuliza swali kwanini kila mtu analimezea mate jimbo la UBUNGO na kulitangazia nia?
(A) Mbunge aliyepo ni dhaifu sana hivyo kila mtu anaona anaweza kumshinda.
(B) Kuna rasilimali nyingi sana Ubungo hivyo kila mtu anazitolea macho.
(C) Matatizo ya wanaubungo hayakupata mtu sahihi wa kuyatatua hivyo wanaubungo wanatoa viashiria vya kumbadilisha mbunge ndio maana watu wanataka kutumia huo mwanya.