GJHariohay
JF-Expert Member
- Oct 24, 2013
- 1,041
- 1,160
Mkuu unategemea kupata Tz ya aina hii toka kwa mabondia kwenye majukwaa ya siasa?? Daaaah umeniacha hoi sana.Natamani kuiona Tanzania ya watu wastaarabu,watu wanaothaminiana,watu wenye subira na watu wenye moyo wa kusikiliza na kutafakari Kwa kina.
Hakika naiona Tanzania iliyoikata HEKIMA na BUSARA ikakimbilia njia zao mbovu.
Naiona Tanzania itakayolia machozi na asiwepo hata mmoja wa kuifuta.
Ooooooh Tanzania yangu kwaheri ya kuonana.