yeah, kuna mdau wa kimara aliahid kumpa bati 12 kuukuu, na mwingine akaahidi kuzifikisha tegeta maana ana route ya kwenda wazo kuchukua kifusi. hizo bati siyo za kuacha poti, zitapigwa chumba cha watoto na kuzibwa vizuri tu
Hii ishu ya MKONGORO nimeamini sisis waTanzania ni wamoja hasa sio utani.
Hata MK254 na mwenzake falcon mombasa wanashangaa.
Hata haya malumbano ya CCM vs UKAWA ni mbwembwe tu.
JF...??????....!!!!!!
I salute you. Baraka nazimwaga kwenu wote mliomsaidia huyu mwenzetu Fundi Ujenzi. Nimeona hapo juu amesema leo kashindwa kwenda kununua bati kwa sababu anamsaidia fundi ujenzi kazi nyumba ya jirani. Huu ndio upendo wa kweli unaotakiwa. Hongereni sana.
Mkuu Mkongoro pole sana na hongera kwa msaada uliyoupata,naisifu familia yako hasa mkeo kwa kusimama na wewe pamoja na changamoto yote hiyo,hakika umepata mke,Mungu awabariki muishi kwa amani,
Mambo yako yakitengemaa malipo mazuri ni kwa wewe kusaidia binadamu wengine wenye shida.
mkuu cjaelewa hapo kwenye western union iyo ni milioni moja na laki mbili au laki moja na ishirini maake huo mkato cjaelewa hapo ulipo uweka
but MSHUKURU MUNGU KWA UPENDO ULIONYESHWA NA HAYA MAMBO YANAPATIKANA TANZANIA AMBAPO MTU ANAEZA KUMSAIDIA MTU ASIE MJUA ..... ASANTEE SANA
Sidhani kama post yake ya kwanza uliisoma.
In short mkewe alishafariki. R.I.P
rais wangu,maswali mengine si ya msingi sanamkuu cjaelewa hapo kwenye western union iyo ni milioni moja na laki mbili au laki moja na ishirini maake huo mkato cjaelewa hapo ulipo uweka