monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,490
- 13,022
acha kuandika bila uthibitisho wewe kanda ya ziwa hasa wasukuma hawana hiyo tabia mm nimekaa huko mda mrefu.Usukumani kawaida dume linaweza kutafuna hata mwanaye kama amenona
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani tulivyokwambia huyo ni mke mwenzio hukutuelewa?
Unaonekana ni mwanamke mnyonge sana na hujui kusimamia nafasi yako katika mahusiano.
Pengine makosa ni yako ila unapenda kuonyesha umeonewa au Pengine umeshamwonyesha huyo mwanamme unampenda/kumuhitaji sana kuliko yeye alivyo kwako. Atakupelekesha atakavyo.
Jitafakari sana la sivyo mahusiano yako na mumeo yatakufa mda si mrefu.
Alaah?...Yuko hivyo unavyosema, jaribu kupitia profile yake utaona threads zake za 'Why Me?'
Alaah?...
Basi ajirekebishe.
Ndio nini kunichomesha mahindi ?
...Aisee pole, maana Simba alivyofungwa mood ziliisha nikalala zangu.
Niliangalia game ya mapema kina Embiid nao wakapigwa.
Kama ni ngosha basi.....nenda nao taratibu Tu...Natumai mko wazima wote
Siku kadhaa zilizopita nilileta thread ya mtoto wa wifi angu kuingia chumbani kwangu na kua na madaraka..
Wengi walinishaur niitishe kikao ,,nilifanya hivyo nikamwambia mjomba wake na bint akiwepo
Mjomba wake akaniambia huyu Ni bint mdogo nakushaur uwe unamwelekeza taratibu nikamwambia nimeshakaa nikaongea nae naona haelew akadai usichoke kumwelewesha
Ajabu hata mwanae hakumwambia/ hata akumkanya basi nikanyamaza tu
Kilichonishangaza leo
asubuh bint kaenda kanisan,, Kuna kitu mme wangu alikua anatafuta alivyokosa nikamwambia subir labda kipo chumba Cha bint ngoja nikakutafutie maana kabla bint ajaja tulikua tunakutumia icho chumba labda katika kuhamisha tulikisahau
Mume akasema acha niende nikaangalie mwenyewe...nikamwambia utaingiaje chumba Cha mtoto wa kike mi nipo?
Akaingia akatafuta kakuta Kuna chupi kitandan zingine, zimeanikwa hapo...bint naona yupo kwenye siku zake maana Kuna pedi pale kitandan lkn haijatumika
nikamwambia umefurahi Sasa ulivyoona??? Ajabu ananilaum Mimi ninamawazo negative yule Ni Kama mwanae so haoni ajabu kuingia chumbani kwake Wala bint kuingia chumbani kwetu
Nimechoka mwili na roho
huyu Ni ndugu yake kweli maana nilienda ukweni nilimkuta
Nilichogundua inawezekana kwao ndio tabia yao hawana privacy au nikawaida yao
Kama Kuna wasukum hum watanisaidia inawezekana kwao Ni kitu Cha kawaida ivyo wananiona mimi ndio ninamatatizo ...jumapil njema jamani hata mood yakwenda kanisan imeisha