- Thread starter
- #41
Asiye na hela ndo marioo yani yule kijana wako ambaye hana mia anayetaka umlele kisa ameona unakigari ulichohongwa
Yule hahitaji kulelewa bwana, anajiweza vizuri tu.
Asiye na hela ndo marioo yani yule kijana wako ambaye hana mia anayetaka umlele kisa ameona unakigari ulichohongwa
Kama ni kweli basi kweli ana bahati. Au ndio ulozi jamaniAh wee kuna wanawake wenye bahati zao...achana na nguvu ya mbususu na tako
Mwe mwe mweeeh! Labda, ngoja nisikubishieSasa mbona unakubali na kujipinga mwenyewe? Inawezekana au haiwezekani?
Ndio maana nasema lilia bahati....wewe shukuru una hiyo bahati wenzio wanaishiwa kumegwa mbususu na kiwanja hawaoni sasa wewe unajengewa hadi nyumba.....karibuni utaletewa helkoptaNa nafikiri wengi hawajawahi kufanya au kufanyiwa hivi ndio maana wanaona ni story nimetunga. I wish ingekuwa tu ni story.
Sio kukumbushia bali kutaka, ya serikalini as ni mkristo hivyo hawezi kufunga ya kanisani.
Hamna cha ulonzi...saaly ana msambwanda hatari acha kabisaKama ni kweli basi kweli ana bahati. Au ndio ulozi jamani
Habari za humu wana JF, natumai wote mko njema.
Natambua baada ya kuleta uzi wangu huu
Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo
Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo
Habari wanajamii forum, ni matumaini yangu kuwa mko salama. Ama la, basi Mungu awafanyie wepesi. Ndugu zangu nahitaji msaada wa mawazo yenu sana. Ninapitia sijui niseme ni wakati mgumu au ni ujinga wa kujitakia. Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu sasa yapata miaka mitatu. Imefikia hatua...www.jamiiforums.com
Ndio maana nasema lilia bahati....wewe shukuru una hiyo bahati wenzio wanaishiwa kumegwa mbususu na kiwanja hawaoni sasa wewe unajengewa hadi nyumba.....karibuni utaletewa helkopta
Ndoa ata ifungwe kanisani lazima itambulike serikalini au hufahamu ilo?
Hamna cha ulonzi...saaly ana msambwanda hatari acha kabisa
Wee usiniambie....yaani jamaa anahonga nyumba kwa mwanamke ambaye hana msambwanda😲😲😲😲 basi mganga wako kibokoSio kweli
Wewe ni muongo
Ulileta uzi wa mrejesho ukafutwa
Usitufanye sisi vichwa maji
Eti ubusy
Wee usiniambie....yaani jamaa anahonga nyumba kwa mwanamke ambaye hana msambwanda basi mganga wako kiboko
Kha basi uno lako hatari...mbususu is on 🔥🔥🔥🔥🔥🔥Siujui hata mlango wa mganga mimi.
Niliandika kwa kifupi sana as sikuwa na muda wa kutosha kuandika in details, na waliocoment walitaka details. Ndio maana nimeleta details. Mbona umeandika kwa hasira sana bibie? Kwema?
Ha haaaaWhy I feel tumepigwa?..
Tumetoa mapovu ya ushauri usikute ni utunzi mtupu..
Kha basi uno lako hatari...mbususu is on
Ungesema sasa ukweli kwamba ulileta mrejesho ukafutwa
Waliocoment walitaka details gani?