MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,094
- 7,218
Mkuu ONTARIO nimekutumia PM , Tafadhali naomba ujitahid kuijibu maana ni muhimu sana .
Mwisho kabisa Mungu akubariki kwa kazi yako ya kurutubisha bongo zetu kwa elimu ya ujasiliamali na uchumi. The end will come to justify the commencement , wadau tusipoteze muda , wakati ni sasa kumbuka majuto mjukuu, kanyaga twende mkuu ONTARIO
Mwisho kabisa Mungu akubariki kwa kazi yako ya kurutubisha bongo zetu kwa elimu ya ujasiliamali na uchumi. The end will come to justify the commencement , wadau tusipoteze muda , wakati ni sasa kumbuka majuto mjukuu, kanyaga twende mkuu ONTARIO