Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,334
- 7,868
Sasa mi nimekushangaa namna ulivyoanza kumshutumu kwa kumuita mchawi? Ona sasa unamuita mpuuzi.We mwenye akili nashangaa umekula loss sasa hapo nani mpuuzi
Mchawi ni nani na dalili zake ni zipi?
Mchawi ni mtu yeyote asiyependa lolote lilio jema kwa binadamu mwezie yaani muda wote yeye ni mtu wa kufurahia mabaya yanayomtokea binadamu mwenzie, na endapo kama akiona binadamu mwenzie anafanya jitihada za kuondokana na shida au mateso basi ujenga chuki na hata kufanya jitihada za kumkwamisha hili tu aendelee kuwepo kwenye mateso!
Sasa kutokana na ufafanuzi huu hapo juu, tukija kwenye huu Uzi kuna watu wana fit kabisa kwenye hayo maelezo, watu wana chuki na wanafanya jiitahada za makusudi kukwamisha dhamira ya Uzi huu kwanini tusiwaite wachawi?
Huyo unaemtetea nae yumo kwenye kundi hilo.
Yaani mimi kupata loss unita ni upuuzi! Uko sawa sawa kweli wewe?
Una habari kwamba hata huyo aliyepo hapo kwenye avatar yako aliwahi kupata loss kubwa mpaka kampuni ya Microsoft ikasitisha kutoa divideds kwa muda wa miaka mitatu kwa wana hisa wake?
Huyo unaemtetea ni mpuuzi na hata wewe mwenyewe unaleta utetezi wa kipuuzi mpaka sasa hivi hakuna cha maana ulichokiandika, endelea kumtetea mpuuzi mwenzio