Lello199
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,238
- 3,131
Naweka plans vzr... mwanza tutakuja very soon maybe 2 or 3 weeks from today
Watu wa kanda ya ziwa neema zinashuka kwenu muanze kupost blue
Naweka plans vzr... mwanza tutakuja very soon maybe 2 or 3 weeks from today
mkuu hii ni fursa..kwa vile forex ni kubet,vipi ukianza kuuza "odds"?au hata uzitoe free ufaidi sifa?utapata followers wengi tu.anzisha kagroup huko telegram ukaite FOREX BETTING-BET WITH A PRO!!naamini utapata hela sana mtetezi wa umma natania tu usilianzishe.Ujinga ni kudhani unajua, unachofanya ni kuwaingiza wenzio chaka zito!
Ukome kunielekeza cha kuandika.
Narudia kusema ukome!
Unawaalika watu kukujoin "KUBETI"
Waambie hivyo!
Waambie njooni "Tubeti online"
Nasisitiza ONTARIO anawafundisheni kubeti kulikopewa jina na "maprofesa" "Trading"
Mnabahatisha tu na sii vinginevyo.
mkuu hii ni fursa..kwa vile forex ni kubet,vipi ukianza kuuza "odds"?au hata uzitoe free ufaidi sifa?utapata followers wengi tu.anzisha kagroup huko telegram ukaite FOREX BETTING-BET WITH A PRO!!naamini utapata hela sana mtetezi wa umma natania tu usilianzishe.
Silianzishi mkuu!mkuu hii ni fursa..kwa vile forex ni kubet,vipi ukianza kuuza "odds"?au hata uzitoe free ufaidi sifa?utapata followers wengi tu.anzisha kagroup huko telegram ukaite FOREX BETTING-BET WITH A PRO!!naamini utapata hela sana mtetezi wa umma natania tu usilianzishe.
sawa mkuu.Silianzishi mkuu!
Napenda tuwe na huruma na fedha za watu, sio kupenda networking kututoe kwenye utu.
Mkuu Ontario eeeh!!! Hebu nikopeshe hata 500$. Sio kwa kupiga huko faida.Kwanini unaanza kuongea huku unajitetea kuwa si hater?? kutafuta huruma ama?? Ukitaka kuprove kua una tuelements twa uchawi, rudi nyuma soma thread yangu upya. Unasema nimeweka screenshot 3, wkt kiuhalisia nimeweka screenshots 5 to be exact. Ulitaka niweke testimonials za watu 100, hiyo thread ingefananaje??
Tuwe na akiba ya maneno boss... darasani tulitrade live na wanafunzi waliokuja asubuhi, kama wanafunzi 50 hivi. Na kati ya hawa 50 wengi wao walikua bado hawajafund live accounts zao, yani bado hawajaweka capital kwenye trading accounts zao. So hizo screenshot ni za wale wachache tuliotrade nao. And a matter of fact, we all trade as a team, sio kila mtu anatrade kivyake. So nikipost Profits za GBPUSD sell, jua team nzima imegonga profits, hata kama nikiweka screenshot 1.
Screen shots km hizi sikuziweka, coz najua zingewaumiza watu wa aina yako... mtu analaza mshahara wako wa robo mwaka ndani ya siku 1.
Mimi hua sipendi kupiga sn kelele, I will let time and results shout on my behalf chief. When you talk, some niqqa out there grind big time.
Tunasubiri dakika kadhaa soko lifunguliwe. My target for the week is 8000 USD in profits. Nothing less!!
Naomba uweke na mda wa jioni .maana mda wa kawaida wengine tunashidwaAsante sana tena sana sana.
Mliohuduria training kikawaida darasa la jioni linaanza saa ngapi jioni??Naomba uweke na mda wa jioni .maana mda wa kawaida wengine tunashidwa
Ujinga ni kudhani unajua, unachofanya ni kuwaingiza wenzio chaka zito!
Ukome kunielekeza cha kuandika.
Narudia kusema ukome!
Unawaalika watu kukujoin "KUBETI"
Waambie hivyo!
Waambie njooni "Tubeti online"
Nasisitiza ONTARIO anawafundisheni kubeti kulikopewa jina na "maprofesa" "Trading"
Mnabahatisha tu na sii vinginevyo.
Haters mpoo? Nimelaza $82 mpaka sasa na mpaka saa 6 usiku itakuwa $100.
Acha tuendelee kutapeliwa na Ontario