Nani Kasema
Senior Member
- May 31, 2011
- 148
- 27
Ukiangalia Hali ya nchi ilipo - bei ghali za vitu na Hali ngumu ya maisha.
Na ukisoma habari kuwa serikali ya JK imetumia mabilioni kununua jengo huko NY,
Basi, utagundua kuwa JK ameamua kutimiza mpango wa serikali ya CCM wa kuhakikisha kuwa watanzania wanakula nyasi.
I am just saying
Na ukisoma habari kuwa serikali ya JK imetumia mabilioni kununua jengo huko NY,
Basi, utagundua kuwa JK ameamua kutimiza mpango wa serikali ya CCM wa kuhakikisha kuwa watanzania wanakula nyasi.
I am just saying