Mr. Senator: Tanzania nchi pekee yenye Kodi kubwa zaidi duniani inaua uchumi na kufukuza wawekezaji

Kwa kodi za Tanzania, mwekezaji au mfanyabiashara akilipa kikamilifu kabisa, lazima afunge biashara.

Siku za nyuma, wengi walikwepa kulipa hizi kodi zisizolipika kwa mbinu mbalimbali.

Kwa sasa ambapo ulipaji wa kodi unafuatiliwa sana, serikali ilistahili kushusha kodi zote na baadhi ya kodi kuzifuta ili watu walipe kikamilifu kwa nia ya kuvutia uwekezaji na kukuza biashara.

VAT isizidi 10%, corporate tax isizidi 25%, royalty isizidi 4%. Rental fees kwenye leseni za madini zishushwe na kufikia viwabgo vya awali. Leseni za biashara zisitolewe kwa sharti la kulipa kodi kwanza wakati hata biashara yenyewe hujaanza.

Mabadiliko hayo yatapunguza sana mapato ya serikali kwa kipindi fulani lakini baadaye yataongezeka na kuzidi ya wakati huu.
 
VAT 18% na Corporate Tax 30% Magufuli ndio alizipanga? Wakati zinawekwa watu hawakuona ubaya wake kwasababu ukwepaji ulihalalishwa, sasa hivi mianya imebanwa cha moto tunakiona!
 


"President Magufuli needs to listen this. Too much taxes kill economy. For example Tanzania has 30% tax and 20% Value added Tax” ~ Mr. Senator

Senetor anasema kwa mfumo wa kodi wa Tanzania tusahau makampuni makubwa kuja kuwekeza Tanzania na kwa mfumo huu wa kodi kampuni zinakimbia kwa kuwa bidhaa hazitauzika kutokana na kodi kubwa inayopelekea bidhaa kuwa ghari.

Bidhaa ikiwa ghari hakuna kipato na kama hakuna kipato biashara zinafungwa.

Kwa ujumla kinachotokea sasa nchini kinachochewa na mfumo mbovu na ghari wa kodi

Kuna sehemu kataja Magufuli
Aisee kumbe hata hujasoma ulichotuletea?!!!!!!!!
 
Kwa kodi za Tanzania, mwekezaji au mfanyabiashara akilipa kikamilifu kabisa, lazima afunge biashara.

Siku za nyuma, wengi walikwepa kulipa hizi kodi zisizolipika kwa mbinu mbalimbali.


Kwa sasa ambapo ulipaji wa kodi unafuatiliwa sana, serikali ilistahili kushusha kodi zote na baadhi ya kodi kuzifuta ili watu walipe kikamilifu kwa nia ya kuvutia uwekezaji na kukuza biashara.

VAT isizidi 10%, corporate tax isizidi 25%, royalty isizidi 4%. Rental fees kwenye leseni za madini zishushwe na kufikia viwabgo vya awali. Leseni za biashara zisitolewe kwa sharti la kulipa kodi kwanza wakati hata biashara yenyewe hujaanza.

Mabadiliko hayo yatapunguza sana mapato ya serikali kwa kipindi fulani lakini baadaye yataongezeka na kuzidi ya wakati huu.
100% true.
 


"President Magufuli needs to listen this. Too much taxes kill economy. For example Tanzania has 30% tax and 20% Value added Tax” ~ Mr. Senator

Senetor anasema kwa mfumo wa kodi wa Tanzania tusahau makampuni makubwa kuja kuwekeza Tanzania na kwa mfumo huu wa kodi kampuni zinakimbia kwa kuwa bidhaa hazitauzika kutokana na kodi kubwa inayopelekea bidhaa kuwa ghari.

Bidhaa ikiwa ghari hakuna kipato na kama hakuna kipato biashara zinafungwa.

Kwa ujumla kinachotokea sasa nchini kinachochewa na mfumo mbovu na ghari wa kodi

Ukimsikiliza Hussein Bashe haya anayazungumza kila siku, mlundikazo wa kodi unawakimbiza wawekezaji, production cost zinakuwa kubwa sana tunashindwa kushindana kwenye soko la dunia..
 
Marekani VAT 8% na bado wanasema iko juu mno. Sisi tuko 18%. Kodi za kawaida btn10-15 sis tuko 30% PAYE 30%. Pamoja na rate zooote bado wanadai matrilioni na bado wanakomaa nazo. Hii ni kukosa ubunifu.

Mfano shusha kodi to 20% today vat to 10% utaona makampuni ndani ya miezi miwili tu zimeaanza. Miradi midogo midogo zitaboom mitaani. Ondoa misamha kote. Kama ujaona uchumi utakapo kwenda juu. Serikali ondoka kwenye kufinance mashirika. Serikali ibaki kutengeneza sera na kutoa huduma sisihitaji faida. Mfano hospiatli shule barabara nk. Acha biashara ijieendeshe yenyewe. Watu wawe na hela. Utashangaa other social services zitakuwa covered na watu wenyewe na hivyo kuipa serikali kufanya vitu vingine.

Swala sio kuwanyima mkopo, tengeneza mazingira ya watu kuwa na pesa watalipia koro ya watoto wao bila kuwaambia.
 


"President Magufuli needs to listen this. Too much taxes kill economy. For example Tanzania has 30% tax and 20% Value added Tax” ~ Mr. Senator

Senetor anasema kwa mfumo wa kodi wa Tanzania tusahau makampuni makubwa kuja kuwekeza Tanzania na kwa mfumo huu wa kodi kampuni zinakimbia kwa kuwa bidhaa hazitauzika kutokana na kodi kubwa inayopelekea bidhaa kuwa ghari.

Bidhaa ikiwa ghari hakuna kipato na kama hakuna kipato biashara zinafungwa.

Kwa ujumla kinachotokea sasa nchini kinachochewa na mfumo mbovu na ghari wa kodi



"President Magufuli needs to listen this. Too much taxes kill economy. For example Tanzania has 30% tax and 20% Value added Tax” ~ Mr. Senator

Senetor anasema kwa mfumo wa kodi wa Tanzania tusahau makampuni makubwa kuja kuwekeza Tanzania na kwa mfumo huu wa kodi kampuni zinakimbia kwa kuwa bidhaa hazitauzika kutokana na kodi kubwa inayopelekea bidhaa kuwa ghari.

Bidhaa ikiwa ghari hakuna kipato na kama hakuna kipato biashara zinafungwa.

Kwa ujumla kinachotokea sasa nchini kinachochewa na mfumo mbovu na ghari wa kodi

Nimenyaka yafuatayo.:-

Some African tax rate is highest in the world. In Tanzania tax rate kicks 30% plus 4hundred 75 dolars of income plus 70% of value added tax, because added to everything you buy. Those high tax rate make it impossible to build capital in those countries. Leave them completely in mess of charity and loan. Poor African Countries have lowest wage workers in the World. And yet a company like NIKE for instance can not put a factory in those Countries because of their taxes. Tax can not raise any money if they kill the economy. High tax rate will never grow their economies, people will live lifetime of unemployment, disease will be rampart, poverty will be permanent and children will be hungry our charity will never be enough never, never.
Mengine katema yai sana sikunyaka!!
 
Wasenge tu hao wazungu huku kwao ndio kuna ma kodi kibao ya kijinga kabisa mbona hawalalamiki? Wameshikwa pabaya tu na hii awamu ya 5; Magufuli hajaongeza kodi yoyote haya makodi yalikuepo toka enzi mbona hawakulalamika vipindi hivyo vilivyopita. Kwao kuna ma kodi ya kufa mtu ila nchi za Afrika zikiwabana kidogo tu kelele ili wazidi kuzinyonya. Ngosha kaza buti baba.. hapa kazi tu.
 
Wasenge tu hao wazungu huku kwao ndio kuna ma kodi kibao ya kijinga kabisa mbona hawalalamiki? Wameshikwa pabaya tu na hii awamu ya 5; Magufuli hajaongeza kodi yoyote haya makodi yalikuepo toka enzi mbona hawakulalamika vipindi hivyo vilivyopita. Kwao kuna ma kodi ya kufa mtu ila nchi za Afrika zikiwabana kidogo tu kelele ili wazidi kuzinyonya. Ngosha kaza buti baba.. hapa kazi tu.

Ujinga ni mzigo Mzungu ananunua nini toka Tanzania? Wanakopa kwetu? Watalii wanawaita kina nani? Wawekezeji nani anawatafuta?
 
What an amazing piece. Message delivered. Wakina mpango wanajifunza uchumi. Badala ya kupunguza kodi, wanabambikiza. Hakuna Tanzania ya viwanda wala matako yake, maana tuaongozwa na malimbukeni
 
Nchi ya Japan pamoja na utajiri walio nao wanalipa VAT 9% Sie nchi maskini tunalipishana 18%... Huko nyuma nilishashauri serikali ipunguze VAT kwa bidhaa zinazozalishwa na viwanda vya ndani ili kuvipa nguvu na kuvifanya viwe competitive!
kodi kama kodi sio ishu..tatizo huku kuna utitiri wa kodi...
 
Back
Top Bottom